Sunday 7 February 2016

Waandishi Vitabu vya Watoto

TANGAZO

Assalaam Aleykum warRamahtullah wabaralatuh 

Kwa yeyote alie tayari kujitolea kuandika simulizi au visa vya Mitume na Maswahaba au fiqh iliyo rahisishwa kwa ajili ya watoto wa Madrasa, Chekechea, Shule za Msingi na Sekondari.

Kazi hizo zitawekwa online kwenye tovuti za Kiislamu.

Naomba watume kazi zao kwenye email iliyo hapo juu.

Lengo ni kuwa na vitabu vya Watoto wa Kiislamu ili nao waweze kujifunza dini yao.

No comments:

Post a Comment

Qur'an 5:32